Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 26:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

33 Naye akakiita jina lake Shiba; kwa hiyo jina la mji huo ni Beer-sheba, hata leo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Basi, Isaka akakiita kisima hicho Shiba; kwa hiyo jina la mji huo ni Beer-sheba hata leo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Basi, Isaka akakiita kisima hicho Shiba; kwa hiyo jina la mji huo ni Beer-sheba hata leo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Basi, Isaka akakiita kisima hicho Shiba; kwa hiyo jina la mji huo ni Beer-sheba hata leo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Naye akakiita Shiba; hadi leo mji huo unaitwa Beer-Sheba.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Naye akakiita Shiba, mpaka leo mji huo unaitwa Beer-Sheba.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 26:33
6 Marejeleo ya Msalaba  

Abrahamu akaamka asubuhi na mapema akatwaa mkate na kiriba cha maji, akampa Hajiri akamtwika begani pake, na kijana, akamruhusu; naye akatoka, akapotea katika jangwa la Beer-sheba.


Kwa hiyo akapaita mahali pale Beer-sheba, kwa sababu waliapa huko wote wawili.


Wakasema, Hakika tuliona ya kwamba BWANA alikuwa pamoja nawe; nasi tukasema, Na tuapiane, sisi na wewe, na kufanya mapatano nawe


Ikawa siku ileile, watumwa wa Isaka wakaja wakampasha habari za kile kisima walichokuwa wamekichimba, wakamwambia, Tumeona maji.


na Hasar-shuali, na Beer-sheba na vijiji vyake;


bali msitafute Betheli, wala msiingie Gilgali, wala msipite kwenda Beer-sheba; kwani Gilgali hakika yake itakwenda utumwani, na Betheli itakuwa ubatili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo