Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 25:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

32 Esau akasema, Tazama, mimi ni karibu kufa, itanifaa nini haki hii ya uzazi?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Esau akasema, “Sawa! Niko karibu kufa; haki yangu ya mzaliwa wa kwanza itanifaa nini?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Esau akasema, “Sawa! Niko karibu kufa; haki yangu ya mzaliwa wa kwanza itanifaa nini?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Esau akasema, “Sawa! Niko karibu kufa; haki yangu ya mzaliwa wa kwanza itanifaa nini?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Esau akasema, “Tazama, mimi niko karibu kufa, itanifaa nini haki ya mzaliwa wa kwanza?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Esau akasema, “Tazama, mimi niko karibu ya kufa, itanifaa nini haki ya mzaliwa wa kwanza?”

Tazama sura Nakili




Mwanzo 25:32
8 Marejeleo ya Msalaba  

Yakobo akamwambia, Kwanza niuzie leo haki yako ya mzaliwa wa kwanza.


Yakobo akamwambia, Niapie kwanza. Naye akamwapia, akamwuzia Yakobo haki yake ya mzaliwa wa kwanza.


Akasema, Je! Hakuitwa Yakobo kwa haki, maana amejitia mahali pangu mara mbili hizi? Alichukua haki yangu ya mzaliwa wa kwanza, na sasa ameichukua baraka yangu. Akasema, Je! Hukuniwekea na mimi mbaraka?


Huyo Mwenyezi ni nani, hata tumtumikie? Nasi tutafaidiwa nini tukimwomba?


Waliomwambia Mungu, Tuondokee; Tena, Huyo Mwenyezi aweza kutufanyia nini?


Kwa kuwa amenena, Haimfai mtu lolote Kujifurahisha na Mungu.


Kila jambo la kukosana, kama ni la ng'ombe, au la punda, au la kondoo, au la mavazi, au la kitu chochote kilichopotea, ambacho mtu mmoja asema ni chake, hilo jambo la watu wote wawili litaletwa mbele ya Mungu; na yeye atakayehukumiwa na Mungu kuwa ni mkosa atamlipa mwenziwe thamani yake mara mbili.


Mmesema, Kumtumikia Mungu hakuna faida; na, Tumepata faida gani kwa kuyashika maagizo yake, na kwa kwenda kwa huzuni mbele za BWANA wa majeshi?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo