Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 25:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

31 Yakobo akamwambia, Kwanza niuzie leo haki yako ya mzaliwa wa kwanza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Yakobo akajibu, “Kwanza niuzie haki yako ya mzaliwa wa kwanza.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Yakobo akajibu, “Kwanza niuzie haki yako ya mzaliwa wa kwanza.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Yakobo akajibu, “Kwanza niuzie haki yako ya mzaliwa wa kwanza.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Yakobo akamjibu, “Niuzie kwanza haki yako ya mzaliwa wa kwanza.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Yakobo akamjibu, “Niuzie kwanza haki yako ya mzaliwa wa kwanza.”

Tazama sura Nakili




Mwanzo 25:31
9 Marejeleo ya Msalaba  

Esau akamwambia Yakobo, Tafadhali, unipe hicho chakula chekundu nile, kwa kuwa ninazimia mimi. Kwa hiyo walimwita jina lake Edomu.


Esau akasema, Tazama, mimi ni karibu kufa, itanifaa nini haki hii ya uzazi?


Akasema, Je! Hakuitwa Yakobo kwa haki, maana amejitia mahali pangu mara mbili hizi? Alichukua haki yangu ya mzaliwa wa kwanza, na sasa ameichukua baraka yangu. Akasema, Je! Hukuniwekea na mimi mbaraka?


Akamwambia, Jina lako hutaitwa tena Yakobo, ila Israeli, maana umeshindana na Mungu, na watu, nawe umeshinda.


Na wana wa Reubeni, mzaliwa wa kwanza wa Israeli; (kwa maana ndiye aliyekuwa mzaliwa wa kwanza, lakini, kwa kuwa alikinajisi kitanda cha babaye, haki yake ya mzaliwa wa kwanza walipewa wana wa Yusufu, mwana wa Israeli; tena nasaba isihesabiwe kwa kuifuata hiyo haki ya mzaliwa wa kwanza.


Ingawa Yuda ndiye aliyekuzwa zaidi miongoni mwa nduguze, na kwake ndiko alikotoka mtawala; haki ile ya mzaliwa wa kwanza ilikuwa ya Yusufu);


ndipo itakapokuwa ya kwamba siku atakayowarithisha wanawe alivyo navyo, asimweke mwana wa ampendaye kuwa mzaliwa wa kwanza mbele ya mwana wa asiyempenda, naye ndiye mzaliwa wa kwanza huyu;


lakini amkubali mzaliwa wa kwanza mwana wa yule asiyempenda, kwa kumpa mafungu mawili katika vyote alivyo navyo; kwa maana ndiye mwanzo wa nguvu zake; haki ya mzaliwa wa kwanza ni yake yeye.


Asiwepo mwasherati wala asiyemcha Mungu, kama Esau, aliyeuuza urithi wake wa mzaliwa wa kwanza kwa ajili ya chakula kimoja.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo