Mwanzo 25:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC26 Baadaye ndugu yake akatoka, na mkono wake ukiwa umemshika Esau kisigino. Akaitwa jina lake Yakobo. Isaka alikuwa mwenye miaka sitini mkewe alipowazaa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema26 Wa pili alizaliwa akiwa amemshika Esau kisigino, hivyo wakampa jina Yakobo. Isaka alikuwa na umri wa miaka sitini wakati Esau na Yakobo walipozaliwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND26 Wa pili alizaliwa akiwa amemshika Esau kisigino, hivyo wakampa jina Yakobo. Isaka alikuwa na umri wa miaka sitini wakati Esau na Yakobo walipozaliwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza26 Wa pili alizaliwa akiwa amemshika Esau kisigino, hivyo wakampa jina Yakobo. Isaka alikuwa na umri wa miaka sitini wakati Esau na Yakobo walipozaliwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu26 Baadaye, ndugu yake akatoka, mkono wake ukiwa umemshika Esau kisigino; akaitwa jina Yakobo. Isaka alikuwa na umri wa miaka sitini Rebeka alipowazaa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu26 Baadaye, ndugu yake akatoka, mkono wake ukiwa umemshika Esau kisigino; akaitwa jina lake Yakobo. Isaka alikuwa mwenye miaka sitini Rebeka alipowazaa. Tazama sura |