Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 25:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

24 Siku zake za kuzaa zilipotimia, tazama! Mapacha walikuwamo tumboni mwake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Siku zake za kujifungua zilipotimia, Rebeka alijifungua mapacha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Siku zake za kujifungua zilipotimia, Rebeka alijifungua mapacha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Siku zake za kujifungua zilipotimia, Rebeka alijifungua mapacha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Wakati wake wa kujifungua ulipotimia, walikuwepo mapacha wa kiume tumboni mwake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Wakati wake wa kujifungua ulipotimia, walikuwepo mapacha wa kiume tumboni mwake.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 25:24
7 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akamwambia, Mataifa mawili yako tumboni mwako, Na makabila mawili ya watu watafarakana tangu tumboni mwako. Kabila moja litakuwa hodari kuliko la pili, Na mkubwa atamtumikia mdogo.


Wa kwanza akatoka, naye alikuwa mwekundu mwili wote kama vazi la nywele. Wakamwita jina lake Esau.


Hivi ndivyo vizazi vya Esau, ndiye Edomu.


Ikawa, wakati wake wa kuzaa walikuwapo mapacha tumboni mwake.


Na Abrahamu naye akamzaa Isaka. Wana wa Isaka; Esau, na Israeli.


Usimchukie Mwedomi; kwa kuwa ni ndugu yako; usimchukie Mmisri, kwa kuwa ulikuwa mgeni katika nchi yake.


Kisha nikampa huyo Isaka, Yakobo na Esau; nami nikampa Esau mlima Seiri aumiliki; Yakobo na watoto wake wakashuka Misri.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo