Mwanzo 25:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC21 Isaka akamwomba BWANA kwa ajili ya mke wake, maana alikuwa tasa. Naye BWANA akamwitikia, na Rebeka mkewe akachukua mimba. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Rebeka alikuwa tasa, kwa hiyo Isaka akamwomba Mwenyezi-Mungu. Naye Mwenyezi-Mungu akakubali ombi lake, Rebeka akapata mimba. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Rebeka alikuwa tasa, kwa hiyo Isaka akamwomba Mwenyezi-Mungu. Naye Mwenyezi-Mungu akakubali ombi lake, Rebeka akapata mimba. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Rebeka alikuwa tasa, kwa hiyo Isaka akamwomba Mwenyezi-Mungu. Naye Mwenyezi-Mungu akakubali ombi lake, Rebeka akapata mimba. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Isaka akamwomba Mwenyezi Mungu kwa ajili ya mke wake, kwa sababu alikuwa tasa. Mwenyezi Mungu akajibu maombi yake na Rebeka mkewe akapata mimba. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Isaka akamwomba bwana kwa ajili ya mke wake, kwa sababu alikuwa tasa. bwana akajibu maombi yake na Rebeka mkewe akapata mimba. Tazama sura |