Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 25:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Akamzalia Zimrani, na Yokshani, na Medani, na Midiani, na Ishbaki, na Sua.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Ketura alimzalia Abrahamu: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Ketura alimzalia Abrahamu: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Ketura alimzalia Abrahamu: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Huyu alimzalia Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Huyu alimzalia Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 25:2
16 Marejeleo ya Msalaba  

Abrahamu alioa mke mwingine jina lake akiitwa Ketura.


Yokshani akamzaa Sheba, na Dedani; na wana wa Dedani walikuwa Waashuri na Waletushi, na Waleumi.


Akafa Hushamu, akamiliki Hadadi wa Bedadi badala yake, naye ndiye aliyepiga Midiani katika nyika ya Moabu, na jina la mji wake ni Avithi.


Wakapita wafanya biashara Wamidiani; basi wakamtoa Yusufu, wakampandisha kumtoa katika shimo, wakamuuza Yusufu kwa Waishmaeli kwa vipande vya fedha ishirini; nao wakamchukua Yusufu mpaka Misri.


Nao Wamidiani wakamuuza huko Misri, kwa Potifa, mmoja wa maofisa wa Farao, mkuu wa askari walinzi.


Wakaondoka katika Midiani, wakafika Parani; wakachukua pamoja nao watu toka Parani, wakafika Misri, kwa Farao mfalme wa Misri; aliyempa nyumba, akaamuru apewe vyakula, akampa mashamba.


Basi ikawa hao marafiki watatu wa Ayubu walipopata habari ya mabaya hayo yote yaliyomfikia, wakaja kila mtu kutoka mahali pake; nao ni Elifazi Mtemani, na Bildadi Mshuhi, na Sofari Mnaamathi; wakapatana pamoja ili waende kumfariji Ayubu na kumtuliza moyo.


na wafalme wote wa Zimri, na wafalme wote wa Elamu, na wafalme wote wa Wamedi;


Moabu akawaambia wazee wa Midiani, Sasa jeshi hili la watu litaramba vitu vyote vinavyotuzunguka, kama vile ng'ombe arambavyo majani ya mashamba. Na Balaki, mwana wa Sipori, alikuwa mfalme wa Moabu zamani zile.


Walipizie kisasi wana wa Israeli juu ya Wamidiani; kisha baadaye utakusanywa uwe pamoja na watu wako.


Nao wafalme wa Midiani wakawaua pamoja na watu wengine waliouawa; Evi, na Rekemu, na Suri, na Huri, na Reba, hao wafalme watano wa Midiani; Balaamu mwana wa Beori naye wakamwua kwa upanga.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo