Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 25:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

19 Na hivi ndivyo vizazi vya Isaka, mwana wa Abrahamu. Abrahamu alimzaa Isaka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Hawa ndio wazawa wa Isaka mwana wa Abrahamu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Hawa ndio wazawa wa Isaka mwana wa Abrahamu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Hawa ndio wazawa wa Isaka mwana wa Abrahamu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Hivi ndivyo vizazi vya Isaka mwana wa Ibrahimu. Ibrahimu akamzaa Isaka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Hivi ndivyo vizazi vya Isaka mwana wa Ibrahimu. Ibrahimu akamzaa Isaka,

Tazama sura Nakili




Mwanzo 25:19
8 Marejeleo ya Msalaba  

Abrahamu akamwita jina lake Isaka, yule mwana aliyezaliwa, ambaye Sara alimzalia.


Isaka akawa mwenye miaka arubaini alipomtwaa Rebeka binti Bethueli, Mshami, wa Padan-aramu, ndugu wa Labani, Mshami, kuwa mke wake.


Wana wa Abrahamu; Isaka, na Ishmaeli.


Na wana wa Ketura, suria yake Abrahamu; yeye akamzaa Zimrani, na Yokshani, na Medani, na Midiani, na Ishbaki, na Shua. Na wana wa Yokshani; Sheba na Dedani.


Na Abrahamu naye akamzaa Isaka. Wana wa Isaka; Esau, na Israeli.


Abrahamu alimzaa Isaka; Isaka akamzaa Yakobo; Yakobo akamzaa Yuda na ndugu zake;


wa Yakobo, wa Isaka, wa Abrahamu, wa Tera, wa Nahori,


Akampa agano la tohara; basi Abrahamu akamzaa Isaka, akamtahiri siku ya nane. Isaka akamzaa Yakobo. Yakobo akawazaa wale kumi na wawili, wazee wetu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo