Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 25:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

17 Ishmaeli aliishi miaka mia moja na thelathini na saba. Akakata roho, akafa, akakusanyika kwa watu wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Ishmaeli alikuwa na umri wa miaka 137 alipofariki, akajiunga na wazee wake waliotangulia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Ishmaeli alikuwa na umri wa miaka 137 alipofariki, akajiunga na wazee wake waliotangulia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Ishmaeli alikuwa na umri wa miaka 137 alipofariki, akajiunga na wazee wake waliotangulia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Kwa jumla Ishmaeli aliishi miaka mia moja na thelathini na saba (137). Akapumua pumzi ya mwisho, akafa, naye akakusanywa pamoja na watu wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Kwa jumla Ishmaeli aliishi miaka 137. Akapumua pumzi ya mwisho, akafa, naye akakusanywa pamoja na watu wake.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 25:17
4 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini wewe utakwenda kwa baba zako kwa amani, utazikwa katika uzee mwema.


Naye Abramu alikuwa mtu wa miaka themanini na sita, hapo Hajiri alipomzalia Abramu Ishmaeli.


Basi Yakobo alipokwisha kuwaagiza wanawe, akakunja miguu yake kitandani, akafa, akakusanywa pamoja na watu wake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo