Mwanzo 25:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC10 Katika lile shamba alilolinunua Abrahamu kwa wazawa wa Hethi, huko ndiko alikozikwa Abrahamu na Sara mkewe. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Abrahamu alikuwa amenunua shamba hilo kwa Wahiti. Huko ndiko alikozikwa Abrahamu na mkewe Sara. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Abrahamu alikuwa amenunua shamba hilo kwa Wahiti. Huko ndiko alikozikwa Abrahamu na mkewe Sara. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Abrahamu alikuwa amenunua shamba hilo kwa Wahiti. Huko ndiko alikozikwa Abrahamu na mkewe Sara. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 shamba ambalo Ibrahimu alilinunua kwa Wahiti. Hapo ndipo Ibrahimu alipozikwa pamoja na mkewe Sara. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Shamba ambalo Ibrahimu alilinunua kwa Wahiti. Hapo ndipo Ibrahimu alipozikwa pamoja na mkewe Sara. Tazama sura |