Mwanzo 24:62 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC62 Basi Isaka alikuwa amekuja kwa njia ya Beer-lahai-roi, maana alikaa katika nchi ya kusini. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema62 Wakati huo, Isaka alikuwa ameondoka Beer-lahai-roi, akawa anakaa huko pande za Negebu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND62 Wakati huo, Isaka alikuwa ameondoka Beer-lahai-roi, akawa anakaa huko pande za Negebu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza62 Wakati huo, Isaka alikuwa ameondoka Beer-lahai-roi, akawa anakaa huko pande za Negebu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu62 Basi Isaka alikuwa ametoka Beer-Lahai-Roi, kwa kuwa alikuwa akiishi nchi ya Negebu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu62 Basi Isaka alikuwa ametoka Beer-Lahai-Roi, kwa kuwa alikuwa anaishi nchi ya Negebu. Tazama sura |