Mwanzo 24:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC29 Na Rebeka alikuwa na kaka, jina lake Labani. Labani akatoka mbio kumwendea yule mtu kisimani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema29 Rebeka alikuwa na kaka yake aitwaye Labani. Labani akatoka mbio kukutana na yule mtu kisimani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND29 Rebeka alikuwa na kaka yake aitwaye Labani. Labani akatoka mbio kukutana na yule mtu kisimani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza29 Rebeka alikuwa na kaka yake aitwaye Labani. Labani akatoka mbio kukutana na yule mtu kisimani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu29 Rebeka alikuwa na kaka aliyeitwa Labani; huyo akaharakisha kukutana na yule mtumishi kule kisimani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu29 Rebeka alikuwa na kaka aliyeitwa Labani, huyo akaharakisha kukutana na yule mtumishi kule kisimani. Tazama sura |