Mwanzo 24:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 Basi Abrahamu alikuwa mzee mwenye miaka mingi, na BWANA alikuwa amembariki Abrahamu katika vitu vyote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Sasa Abrahamu alikuwa mzee wa miaka mingi, naye Mwenyezi-Mungu alikuwa amembariki katika kila hali. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Sasa Abrahamu alikuwa mzee wa miaka mingi, naye Mwenyezi-Mungu alikuwa amembariki katika kila hali. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Sasa Abrahamu alikuwa mzee wa miaka mingi, naye Mwenyezi-Mungu alikuwa amembariki katika kila hali. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Wakati huu Ibrahimu alikuwa mzee mwenye miaka mingi, naye Mwenyezi Mungu alikuwa amembariki katika mambo yote. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Wakati huu Ibrahimu alikuwa mzee mwenye miaka mingi, naye bwana alikuwa amembariki katika kila njia. Tazama sura |