Mwanzo 23:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Na lile shamba, na pango lililomo, iliyakinishwa kuwa mali yake Abrahamu na wazawa wa Hethi, kuwa mahali pa kuzikia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Shamba na pango lililokuwamo humo lilithibitishwa na Wahiti liwe mali yake Abrahamu apate kuzika humo wafu wake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Shamba na pango lililokuwamo humo lilithibitishwa na Wahiti liwe mali yake Abrahamu apate kuzika humo wafu wake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Shamba na pango lililokuwamo humo lilithibitishwa na Wahiti liwe mali yake Abrahamu apate kuzika humo wafu wake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Hivyo Wahiti wakamkabidhi Ibrahimu shamba pamoja na pango lililokuwa humo kuwa mahali pa kuzikia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Hivyo Wahiti wakamkabidhi Ibrahimu shamba pamoja na pango lililokuwa humo kuwa mahali pa kuzikia. Tazama sura |