Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 21:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

24 Abrahamu akasema, Nitaapa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Abrahamu akasema, “Naapa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Abrahamu akasema, “Naapa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Abrahamu akasema, “Naapa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Ibrahimu akasema, “Ninaapa hivyo.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Ibrahimu akasema, “Ninaapa hivyo.”

Tazama sura Nakili




Mwanzo 21:24
6 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu mmoja aliyeponyoka akaenda, akampasha habari Abramu Mwebrania; aliyekuwa akikaa karibu na mialoni ya Mamre, yule Mwamori, ndugu ya Eshkoli, na ndugu ya Aneri, na hao walikuwa wamepatana na Abramu.


Basi sasa uniapie kwa Mungu, ya kuwa hutanitenda hila, wala mwanangu, wala mjukuu wangu, lakini kwa kadiri ya fadhili niliyokutendea utanitendea mimi, na nchi hii ambayo umetembea ndani yake.


Kisha Abrahamu akamlaumu Abimeleki kwa sababu ya kisima cha maji ambacho watumishi wa Abimeleki wamemnyang'anya.


Akanena, Niapie. Naye akamwapia. Israeli akajiinamisha kwenye mchago wa kitanda.


Ikiwezekana, kwa upande wenu, mkae katika amani na watu wote.


Maana wanadamu huapa kwa yeye aliye mkuu kuliko wao; na kwao mwisho wa mashindano yote ya maneno ni kiapo, kwa kuyathibitisha.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo