Mwanzo 20:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC10 Abimeleki akamwambia Abrahamu, Umeona nini hata ukatenda jambo hili? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Tena Abimeleki akazidi kumwuliza, “Ni kitu gani kimekusukuma kufanya hivyo?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Tena Abimeleki akazidi kumwuliza, “Ni kitu gani kimekusukuma kufanya hivyo?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Tena Abimeleki akazidi kumwuliza, “Ni kitu gani kimekusukuma kufanya hivyo?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Abimeleki akamuuliza Ibrahimu, “Ulikuwa na kusudi gani kufanya hivi?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Abimeleki akamuuliza Ibrahimu, “Ulikuwa na kusudi gani kufanya hivi?” Tazama sura |