Mwanzo 17:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC24 Naye Abrahamu alikuwa mwenye umri wa miaka tisini na tisa alipotahiriwa nyama ya govi lake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 Abrahamu alikuwa na umri wa miaka 99 alipotahiriwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 Abrahamu alikuwa na umri wa miaka 99 alipotahiriwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 Abrahamu alikuwa na umri wa miaka 99 alipotahiriwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 Ibrahimu alikuwa na umri wa miaka tisini na tisa alipotahiriwa; Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 Ibrahimu alikuwa na umri wa miaka tisini na tisa alipotahiriwa, Tazama sura |