Mwanzo 16:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC14 Kwa hiyo kisima kile kiliitwa Beer-lahai-roi. Tazama, kiko kati ya Kadeshi na Beredi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Ndiyo maana kile kisima chaitwa Beer-lahai-roi. Kisima hiki kipo kati ya Kadeshi na Beredi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Ndiyo maana kile kisima chaitwa Beer-lahai-roi. Kisima hiki kipo kati ya Kadeshi na Beredi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Ndiyo maana kile kisima chaitwa Beer-lahai-roi. Kisima hiki kipo kati ya Kadeshi na Beredi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Ndiyo sababu kisima kile kikaitwa Beer-Lahai-Roi; bado kipo hata leo kati ya Kadeshi na Beredi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Ndiyo sababu kisima kile kikaitwa Beer-Lahai-Roi, ambacho bado kipo huko hata leo kati ya Kadeshi na Beredi. Tazama sura |