Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 15:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 na Mhiti, na Mperizi, na Mrefai,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Wahiti, Waperizi, Warefai,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Wahiti, Waperizi, Warefai,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Wahiti, Waperizi, Warefai,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Wahiti, Waperizi, Warefai,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Wahiti, Waperizi, Warefai,

Tazama sura Nakili




Mwanzo 15:20
9 Marejeleo ya Msalaba  

Kukawako ugomvi kati ya wachunga wanyama wa Abramu, na wachunga wanyama wa Lutu; na siku zile Wakanaani na Waperizi walikuwa wakikaa katika nchi.


Na mwaka wa kumi na nne akaja Kedorlaoma na wafalme waliokuwa pamoja naye, wakawapiga Warefai katika Ashteroth-karnaimu, na Wazuzi katika Hamu, na Waemi katika Shawe-kiryathaimu,


Mkeni, na Mkenizi, na Mkadmoni,


na Mwamori, na Mkanaani, na Mgirgashi, na Myebusi.


Akaondoka Abrahamu kutoka mbele ya maiti wake, akasema na wazawa wa Hethi, akinena,


Tena itakuwa kama hapo mvunaji ashikapo mabua ya ngano, na mkono wake ukatapo masuke; tena itakuwa kama hapo mtu aokotapo masuke katika bonde la Warefai.


Amaleki anakaa katika nchi ya Negebu; na Mhiti, na Myebusi, na Mwamori wanakaa katika milima, na Mkanaani anakaa karibu na bahari; na kando ya ukingo wa Yordani.


lakini uwaangamize kabisa, Mhiti, na Mwamori, na Mkanaani, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi, kama alivyokuamuru BWANA, Mungu wako;


Yoshua akawaambia, Kwa kuwa wewe u taifa kubwa la watu, haya, kwea uende mwituni, ujikatie mahali hapo kwa ajili ya nafsi yako katika nchi ya Waperizi, na ya hao Warefai; maana hiyo nchi ya vilima ya Efraimu ni nyembamba, haikutoshi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo