Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 12:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Farao akawaagiza watu kwa ajili yake, wakampeleka njiani, na mkewe, na kila alichokuwa nacho.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Kisha Farao aliwaamuru watu wake, nao wakamsindikiza Abramu njiani akiwa na mke wake na mali yake yote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Kisha Farao aliwaamuru watu wake, nao wakamsindikiza Abramu njiani akiwa na mke wake na mali yake yote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Kisha Farao aliwaamuru watu wake, nao wakamsindikiza Abramu njiani akiwa na mke wake na mali yake yote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Kisha Farao akawapa watu wake amri kuhusu Abramu, wakamsindikiza pamoja na mke wake na kila alichokuwa nacho.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Kisha Farao akawapa watu wake amri kuhusu Abramu, wakamsindikiza pamoja na mke wake na kila alichokuwa nacho.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 12:20
6 Marejeleo ya Msalaba  

Mbona ulisema, Huyo ni dada yangu, hata nikamtwaa kuwa mke wangu? Basi sasa, huyo mke wako umchukue, uende zako.


Abramu akapanda kutoka Misri, yeye, na mkewe, na kila alichokuwa nacho, na Lutu pamoja naye, mpaka kusini.


Kisha Musa akaagana na mkwewe; naye akaenda zake, mpaka nchi yake mwenyewe.


Moyo wa mfalme huwa katika mkono wa BWANA; Kama mifereji ya maji huugeuza popote apendapo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo