Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 11:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Eberi akaishi miaka thelathini na minne, akamzaa Pelegi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Eberi alipokuwa na umri wa miaka 34, alimzaa Pelegi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Eberi alipokuwa na umri wa miaka 34, alimzaa Pelegi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Eberi alipokuwa na umri wa miaka 34, alimzaa Pelegi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Eberi alipokuwa ameishi miaka thelathini na nne, akamzaa Pelegi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Eberi alipokuwa na miaka thelathini na minne, akamzaa Pelegi.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 11:16
7 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Shemu ambaye ni baba wa wana wote wa Eberi, na ndugu mkubwa wa Yafethi, akazaliwa wana.


Eberi akazaliwa wana wawili wa kiume; jina la wa kwanza ni Pelegi maana katika siku zake nchi iligawanyika; na jina la nduguye ni Yoktani.


Sela akaishi baada ya kumzaa Eberi miaka mia nne na mitatu, akazaa wana, wa kiume na wa kike.


Eberi akaishi baada ya kumzaa Pelegi miaka mia nne na thelathini, akazaa wana, wa kiume na wa kike.


Na Eberi akazaliwa wana wawili wa kiume; jina la wa kwanza aliitwa Pelegi, maana katika siku zake nchi iligawanyika; na jina la nduguye aliitwa Yoktani.


Lakini merikebu zitakuja kutoka pwani kwa Kitimu, Nazo zitamtaabisha Ashuru, na Eberi zitamtaabisha, Yeye naye atapata uharibifu.


wa Serugi, wa Regau, wa Pelegi, wa Eberi, wa Sala,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo