Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 11:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Sela akaishi baada ya kumzaa Eberi miaka mia nne na mitatu, akazaa wana, wa kiume na wa kike.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Baada ya kumzaa Eberi, Shela aliishi miaka 403 na kupata watoto wengine wa kiume na wa kike.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Baada ya kumzaa Eberi, Shela aliishi miaka 403 na kupata watoto wengine wa kiume na wa kike.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Baada ya kumzaa Eberi, Shela aliishi miaka 403 na kupata watoto wengine wa kiume na wa kike.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Baada ya kumzaa Eberi, Shela aliishi miaka mia nne na tatu (403), akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Shela baada ya kumzaa Eberi, aliishi miaka 403, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 11:15
2 Marejeleo ya Msalaba  

Sela akaishi miaka thelathini, akamzaa Eberi.


Eberi akaishi miaka thelathini na minne, akamzaa Pelegi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo