Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 10:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

29 na Ofiri, na Havila, na Yobabu. Hao wote ndio wana wa Yoktani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Ofiri, Hawila na Yobabu. Hao wote walikuwa watoto wa Yoktani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Ofiri, Hawila na Yobabu. Hao wote walikuwa watoto wa Yoktani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Ofiri, Hawila na Yobabu. Hao wote walikuwa watoto wa Yoktani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Ofiri, Havila na Yobabu. Hawa wote walikuwa wana wa Yoktani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Ofiri, Havila na Yobabu. Hawa wote walikuwa wana wa Yoktani.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 10:29
15 Marejeleo ya Msalaba  

na Obali, na Abimaeli, na Seba,


Makao yao yalikuwa kutoka Mesha kwa njia ya Sefari, mlima wa mashariki.


Jina la wa kwanza ni Pishoni; ndio unaozunguka nchi yote ya Havila, ambako kuna dhahabu;


Wakakaa toka Havila mpaka Shuri, unaoelekea Misri, kwa njia ya kwenda Ashuru. Akakaa katikati ya ndugu zake wote.


Yehoshafati akafanya merikebu za Tarshishi ziende Ofiri kuchukua dhahabu; lakini hazikuenda; kwa maana merikebu zilivunjika huko Esion-geberi.


Wakafika Ofiri, wakachukua toka huko dhahabu, talanta mia nne na ishirini, wakamletea mfalme Sulemani.


na Ofiri, na Havila, na Yobabu. Hao wote ndio wana wa Yoktani.


na Ishmerai, na Izlia, na Yobabu; walikuwa wana wa Elpaali.


Na katika makuhani; Yedaya, na Yehoyaribu, na Yakini;


wakuu wa koo za baba zao; pamoja na ndugu zao; watu elfu moja na mia saba na sitini; watu wenye ujuzi waliofaa sana kwa kazi ya huduma ya nyumba ya Mungu.


Nawe hazina zako ziweke mchangani, Na dhahabu ya Ofiri iweke kati ya mawe ya vijito;


Haiwezi kutiwa thamani kwa dhahabu ya Ofiri, Wala kwa shohamu ya thamani nyingi, wala kwa yakuti samawi.


Binti za wafalme wamo Miongoni mwa akina bibi wako wastahiki. Katika mkono wako wa kulia amesimama malkia Akiwa amevaa dhahabu safi ya Ofiri.


nitafanya wanadamu kuadimika kuliko dhahabu safi, na watu kuliko dhahabu ya Ofiri.


Sauli akawapiga Waamaleki, toka Havila hadi Shuri, mashariki mwa Misri.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo