Mika 5:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC10 Kisha itakuwa katika siku hiyo, asema BWANA, nitawakatilia mbali farasi wako watoke kati yako, nami nitayaharibu magari yako ya vita; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Mwenyezi-Mungu asema, “Wakati huo nitawaondoa farasi wenu, na kuyaharibu magari yenu ya farasi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Mwenyezi-Mungu asema, “Wakati huo nitawaondoa farasi wenu, na kuyaharibu magari yenu ya farasi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Nitaiharibu miji ya nchi yenu, na kuzibomolea mbali ngome zenu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 “Katika siku ile,” asema Mwenyezi Mungu, “nitaangamiza farasi wenu kati yenu, na kubomoa magari yenu ya vita. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 “Katika siku ile,” asema bwana, “nitaangamiza farasi zenu katikati yenu na kubomoa magari yenu ya vita. Tazama sura |