Mika 1:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC9 Kwa maana majeraha yake hayaponyeki; Maana msiba umeijia hata Yuda, Unalifikia lango la watu wangu, Naam, hata Yerusalemu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Majeraha ya Samaria hayaponyeki, nayo yameipata pia Yuda; yamefikia lango la Yerusalemu, mahali wanapokaa watu wangu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Majeraha ya Samaria hayaponyeki, nayo yameipata pia Yuda; yamefikia lango la Yerusalemu, mahali wanapokaa watu wangu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Majeraha ya Samaria hayaponyeki, nayo yameipata pia Yuda; yamefikia lango la Yerusalemu, mahali wanapokaa watu wangu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Kwa sababu jeraha lake halitibiki; limekuja kwa Yuda. Limefika hasa kwenye lango la watu wangu, hata Yerusalemu kwenyewe. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Kwa sababu jeraha lake halitibiki; limekuja Yuda. Limefika hasa kwenye lango la watu wangu, hata Yerusalemu kwenyewe. Tazama sura |