Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mhubiri 9:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Mavazi yako na yawe meupe sikuzote; wala kichwa chako kisikose manukato.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Vaa vizuri, jipake mafuta kichwani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Vaa vizuri, jipake mafuta kichwani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Vaa vizuri, jipake mafuta kichwani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Daima uvae nguo nyeupe na daima upake kichwa chako mafuta.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Daima uvae nguo nyeupe na daima upake kichwa chako mafuta.

Tazama sura Nakili




Mhubiri 9:8
15 Marejeleo ya Msalaba  

Yoabu akatuma watu waende Tekoa, akaleta kutoka huko mwanamke mwenye akili, akamwambia, Nakusihi, ujifanye kama unaomboleza, ukavae nguo za kufiwa, nakusihi, wala usijitie mafuta, ila ukafanane na mwanamke aliyeomboleza siku nyingi kwa ajili yake aliyefariki;


Kisha Mefiboshethi, mwana wa Sauli, akashuka ili amlaki mfalme; alikuwa hakukata kucha za miguu yake wala kukata ndevu zake, wala kufua nguo zake, tangu siku alipoondoka mfalme, hadi siku hiyo aliporudi kwake kwa amani.


Naye Mordekai akatoka usoni pa mfalme, amevaa mavazi ya kifalme, ya rangi ya samawati na nyeupe, mwenye taji kubwa la dhahabu, na joho la kitani safi na rangi ya zambarau. Mji wa Susa wakapaza sauti, wakashangilia.


Waandaa meza mbele yangu, Machoni pa watesi wangu. Umenipaka mafuta kichwani pangu, Na kikombe changu kinafurika.


Sikula chakula kitamu, wala nyama wala divai haikuingia kinywani mwangu, wala sikujipaka mafuta kabisa, hata majuma matatu kamili yalipotimia.


ninyi mnaokunywa divai katika mabakuli, na kujipaka marhamu iliyo nzuri; lakini hawahuzuniki kwa sababu ya mateso ya Yusufu.


Bali wewe ufungapo, jipake mafuta kichwani, unawe uso;


Hukunipaka kichwa changu mafuta; bali huyu amenipaka miguu yangu marhamu.


(Tazama, naja kama mwizi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake.)


Na majeshi yaliyo mbinguni wakamfuata, wamepanda farasi weupe na kuvikwa kitani nzuri, nyeupe, safi.


Naye ameruhusiwa kuvikwa kitani nzuri, ing'aayo, safi; kwa maana kitani nzuri hiyo ni matendo ya haki ya watakatifu.


Baada ya hayo nikaona, na tazama, mkutano mkubwa sana ambao hapana mtu awezaye kuuhesabu, watu wa kila taifa, na kabila, na jamaa, na lugha, wamesimama mbele ya kile kiti cha enzi, na mbele za Mwana-kondoo, wamevikwa mavazi meupe, wana matawi ya mitende mikononi mwao;


Basi wewe oga, ujipake mafuta ujivike mavazi yako, kisha uende kwenye uga; lakini usijioneshe kwake mtu yule, ila atakapokwisha kula na kunywa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo