Mhubiri 9:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Hekima ndiyo bora kupita silaha za vita; Lakini mkosaji mmoja huharibu mema mengi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Kuwa na hekima ni bora kuliko kutegemea silaha, lakini mwenye dhambi mmoja huharibu mazuri mengi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Kuwa na hekima ni bora kuliko kutegemea silaha, lakini mwenye dhambi mmoja huharibu mazuri mengi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Kuwa na hekima ni bora kuliko kutegemea silaha, lakini mwenye dhambi mmoja huharibu mazuri mengi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Hekima ni bora kuliko silaha za vita, lakini mwenye dhambi mmoja huharibu mema mengi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Hekima ni bora kuliko silaha za vita, lakini mwenye dhambi mmoja huharibu mema mengi. Tazama sura |