Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mhubiri 9:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Pia nimeona mfano huu wa hekima chini ya jua, nao ni kama hivi, tena kwangu mimi ulionekana kuwa neno kubwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Pia hapa duniani nimeona mfano wa hekima, na ulionekana kwangu kuwa wenye maana sana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Pia hapa duniani nimeona mfano wa hekima, na ulionekana kwangu kuwa wenye maana sana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Pia hapa duniani nimeona mfano wa hekima, na ulionekana kwangu kuwa wenye maana sana.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Pia niliona chini ya jua mfano huu wa hekima ambao ulinivutia sana:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Pia niliona chini ya jua mfano huu wa hekima ambao ulinivutia sana:

Tazama sura Nakili




Mhubiri 9:13
9 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo yule mwanamke akawaendea watu wote katika hekima yake. Nao wakamkata kichwa Sheba, mwana wa Bikri, wakamtupia Yoabu huko nje. Ndipo akapiga tarumbeta, nao wakatawanyika kutoka mjini kila mtu hemani kwake. Naye Yoabu akarudi mpaka Yerusalemu kwa mfalme.


Kuna baa nililoliona mimi chini ya jua, nalo linawalemea wanadamu kwa uzito;


Mambo hayo yote nimeyaona mimi katika siku za ubatili wangu, yuko mwenye haki apoteaye katika haki yake, yuko na mtu mwovu azidishaye maisha yake katika udhalimu wake.


Hekima ni nguvu zake mwenye hekima, Zaidi ya wakuu kumi waliomo mjini.


Mimi nilipotia moyo wangu katika kuijua hekima, na kuuona utumishi uliofanyika juu ya nchi, (maana kuna asiyepata usingizi kwa macho yake mchana wala usiku);


Nikarudi, na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo; lakini wakati na bahati huwapata wote.


Maana mwanadamu naye hajui wakati wake; kama samaki wanaokamatwa katika nyavu mbaya, na mfano wa ndege wanaonaswa mtegoni, kadhalika wanadamu hunaswa katika wakati mbaya, unapowaangukia kwa ghafla.


Palikuwa na mji mdogo, uliokuwa na watu wachache ndani yake; akaja mfalme mkuu juu yake, akauhusuru, akajenga ngome kubwa ili kuupiga.


Ndipo Danieli kwa busara na hadhari akamjibu Arioko, mkuu wa walinzi wa mfalme, aliyekuwa ametoka ili kuwaua wenye hekima wa Babeli;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo