Mhubiri 8:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Kwa maana kwa kila shauri kuna wakati na hukumu; kwa sababu mashaka ya mwanadamu yaliyo juu yake ni makubwa; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Naam, kila kitu kina wakati wake na njia yake, ingawa binadamu anakabiliwa na tatizo kubwa: Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Naam, kila kitu kina wakati wake na njia yake, ingawa binadamu anakabiliwa na tatizo kubwa: Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Naam, kila kitu kina wakati wake na njia yake, ingawa binadamu anakabiliwa na tatizo kubwa: Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Kwa maana kuna wakati mwafaka na utaratibu wa kila jambo, ingawa huzuni ya mwanadamu huwa nzito juu yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Kwa maana kuna wakati muafaka na utaratibu wa kila jambo, ingawa huzuni ya mwanadamu huwa nzito juu yake. Tazama sura |