Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mhubiri 8:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 Aishikaye amri hatajua neno baya; Na moyo wa mwenye hekima hujua wakati na hukumu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Anayetii amri hatapata madhara, na mwenye hekima atajua kuna wakati na njia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Anayetii amri hatapata madhara, na mwenye hekima atajua kuna wakati na njia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Anayetii amri hatapata madhara, na mwenye hekima atajua kuna wakati na njia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Yeyote anayetii agizo lake hatadhurika, moyo wa hekima utajua wakati mwafaka na jinsi ya kutenda.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Yeyote anayetii agizo lake hatadhurika, moyo wa hekima utajua wakati muafaka na jinsi ya kutenda.

Tazama sura Nakili




Mhubiri 8:5
21 Marejeleo ya Msalaba  

Na wa wana wa Isakari, watu wenye akili za kujua nyakati, kuyajua yawapasayo Israeli wayatende; vichwa vyao walikuwa watu mia mbili na ndugu zao wote walikuwa chini ya amri yao.


Ndipo mimi sitaaibika, Nikiyaangalia maagizo yako yote.


Lakini hao wakunga walikuwa wacha Mungu, hawakufanya kama walivyoamriwa na huyo mfalme wa Misri, lakini wakawahifadhi hai wale watoto wa kiume.


Mwenye haki hatapatikana na msiba wowote; Bali wasio haki watajazwa mabaya.


Hekima huwa machoni pake mwenye ufahamu; Bali macho ya mpumbavu huwa katika ncha za dunia.


Moyo wake mwenye hekima upo upande wa kulia; Bali moyo wake mpumbavu upo mkono wa kushoto.


Hii ndiyo jumla ya maneno; yote yamekwisha sikiwa; Mche Mungu, nawe uzishike amri zake, Maana kwa jumla ndiyo impasayo mtu.


macho yake mwenye hekima yamo kichwani mwake, lakini mpumbavu huenda gizani; ila hata hivyo nikatambua ya kwamba ni tukio moja la mwisho liwapatalo wote sawasawa.


Mimi nasema hivi, Uishike amri ya mfalme; na hiyo kwa sababu umeapa kwa Mungu.


Efraimu ameonewa, amesetwa katika hukumu, kwa sababu alikuwa radhi kufuata ubatili.


Akawaambia, Basi, vya Kaisari mpeni Kaisari, na vya Mungu mpeni Mungu.


Petro na Yohana wakawajibu wakawaambia, Kama ni haki mbele za Mungu kuwasikiliza ninyi kuliko Mungu, hukumuni ninyi wenyewe;


Petro na mitume wakajibu, wakisema, Imetupasa kumtii Mungu kuliko wanadamu.


Kwa sababu hiyo sisi nasi, tangu siku ile tuliposikia, hatuachi kufanya maombi na dua kwa ajili yenu, ili mjazwe maarifa ya mapenzi yake katika hekima yote na ufahamu wa rohoni;


Lakini chakula kigumu ni cha watu wazima, ambao akili zao, kwa kutumiwa, zimezoeshwa kupambanua mema na mabaya.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo