Mhubiri 8:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC5 Aishikaye amri hatajua neno baya; Na moyo wa mwenye hekima hujua wakati na hukumu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Anayetii amri hatapata madhara, na mwenye hekima atajua kuna wakati na njia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Anayetii amri hatapata madhara, na mwenye hekima atajua kuna wakati na njia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Anayetii amri hatapata madhara, na mwenye hekima atajua kuna wakati na njia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Yeyote anayetii agizo lake hatadhurika, moyo wa hekima utajua wakati mwafaka na jinsi ya kutenda. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Yeyote anayetii agizo lake hatadhurika, moyo wa hekima utajua wakati muafaka na jinsi ya kutenda. Tazama sura |