Mhubiri 8:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Kwa sababu hukumu juu ya tendo baya haitekelezwi upesi, mioyo ya wanadamu huthibitishwa ndani yao ili kutenda mabaya. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Kwa vile uovu haupatilizwi haraka, mioyo ya wanadamu hupania kutenda mabaya. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Kwa vile uovu haupatilizwi haraka, mioyo ya wanadamu hupania kutenda mabaya. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Kwa vile uovu haupatilizwi haraka, mioyo ya wanadamu hupania kutenda mabaya. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Wakati hukumu juu ya tendo ovu haitekelezwi upesi, mioyo ya watu hujaa mipango ya kutenda maovu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Wakati hukumu juu ya tendo ovu haitekelezwi upesi, mioyo ya watu hujaa mipango ya kutenda maovu. Tazama sura |