Mhubiri 7:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Bila shaka hakuna mwanadamu mwenye haki hapa duniani, atendaye mema pasipo kutenda dhambi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Hakika, hakuna mtu mwadilifu duniani atendaye mema daima bila kutenda dhambi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Hakika, hakuna mtu mwadilifu duniani atendaye mema daima bila kutenda dhambi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Hakika, hakuna mtu mwadilifu duniani atendaye mema daima bila kutenda dhambi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Hakuna mtu mwenye haki duniani ambaye hufanya mambo ya haki na kamwe asitende dhambi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Hakuna mtu mwenye haki duniani ambaye hufanya mambo ya haki na kamwe asitende dhambi. Tazama sura |