Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mhubiri 7:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

19 Hekima ni nguvu zake mwenye hekima, Zaidi ya wakuu kumi waliomo mjini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Hekima humfanya mwenye busara kuwa na nguvu zaidi kuliko watawala kumi mjini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Hekima humfanya mwenye busara kuwa na nguvu zaidi kuliko watawala kumi mjini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Hekima humfanya mwenye busara kuwa na nguvu zaidi kuliko watawala kumi mjini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Hekima humfanya yeye aliye nayo kuwa na uwezo kuliko watawala kumi katika mji.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Hekima humfanya yeye aliye nayo kuwa na uwezo zaidi kuliko watawala kumi katika mji.

Tazama sura Nakili




Mhubiri 7:19
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye hekima huupandia mji wao wenye nguvu; Na kuziangusha nguvu za tumaini lao.


Mtu mwenye hekima ana nguvu; Naam, mtu wa maarifa huongeza uwezo;


Ushauri ni wangu, na maarifa yaliyo sahihi; Mimi ni ufahamu, mimi nina nguvu.


Heri kijana maskini mwenye hekima Kuliko mfalme mzee mpumbavu ambaye hajui tena kupokea maonyo.


Kwa maana ulinzi wa hekima ni kama ulinzi wa fedha na ubora wa maarifa ni kwamba hekima humhifadhi yeye aliye nayo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo