Mhubiri 7:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Hekima ni njema kama urithi; Naam, nayo ni bora kwao walionalo jua. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Hekima ni ya thamani kubwa kama urithi; ni muhimu kwa wale wote walio hai. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Hekima ni ya thamani kubwa kama urithi; ni muhimu kwa wale wote walio hai. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Hekima ni ya thamani kubwa kama urithi; ni muhimu kwa wale wote walio hai. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Hekima, kama ulivyo urithi, ni kitu chema na huwafaidia wale walionalo jua. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Hekima, kama ulivyo urithi, ni kitu chema na huwafaidia wale walionalo jua. Tazama sura |