Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mhubiri 7:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Hekima ni njema kama urithi; Naam, nayo ni bora kwao walionalo jua.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Hekima ni ya thamani kubwa kama urithi; ni muhimu kwa wale wote walio hai.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Hekima ni ya thamani kubwa kama urithi; ni muhimu kwa wale wote walio hai.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Hekima ni ya thamani kubwa kama urithi; ni muhimu kwa wale wote walio hai.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Hekima, kama ulivyo urithi, ni kitu chema na huwafaidia wale walionalo jua.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Hekima, kama ulivyo urithi, ni kitu chema na huwafaidia wale walionalo jua.

Tazama sura Nakili




Mhubiri 7:11
13 Marejeleo ya Msalaba  

Bali hekima itapatikana wapi? Na mahali pa ufahamu ni wapi?


Sheria ya kinywa chako ni njema kwangu, Kuliko maelfu ya dhahabu na fedha.


Taji la wenye hekima ni mali zao; Bali upumbavu wa wajinga ni upumbavu tu.


Maana biashara yake ni bora kuliko biashara ya fedha, Na faida yake ni nyingi kuliko dhahabu safi.


Yeye ana thamani kuliko marijani, Wala vyote uvitamanivyo havilingani naye.


Kweli nuru ni tamu, tena ni jambo la kupendeza macho kutazama jua.


Ndipo nilipoona ya kuwa kweli hekima hupita upumbavu, kwa kadiri nuru ipitavyo giza;


Usiseme, Kwa nini siku za kale zilikuwa ni bora kuliko siku hizi? Maana si kwa hekima unauliza hili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo