Mhubiri 7:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC10 Usiseme, Kwa nini siku za kale zilikuwa ni bora kuliko siku hizi? Maana si kwa hekima unauliza hili. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Usiulize, “Kwa nini nyakati za kale zilikuwa bora kuliko za sasa?” Huulizi hivyo kwa kutumia hekima. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Usiulize, “Kwa nini nyakati za kale zilikuwa bora kuliko za sasa?” Huulizi hivyo kwa kutumia hekima. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Usiulize, “Kwa nini nyakati za kale zilikuwa bora kuliko za sasa?” Huulizi hivyo kwa kutumia hekima. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Usiseme, “Kwa nini siku za kale zilikuwa bora kuliko siku hizi?” Kwa maana si hekima kuuliza maswali kama hayo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Usiseme, “Kwa nini siku za kale zilikuwa bora kuliko siku hizi?” Kwa maana si hekima kuuliza maswali kama hayo. Tazama sura |