Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mhubiri 6:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 yaani, hiyo huja katika ubatili, na huenda gizani, nalo jina lake limefunikwa giza;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Mtoto mfu hafaidiki chochote kwa kuzaliwa; yeye hutokomea gizani, akasahaulika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Mtoto mfu hafaidiki chochote kwa kuzaliwa; yeye hutokomea gizani, akasahaulika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Mtoto mfu hafaidiki chochote kwa kuzaliwa; yeye hutokomea gizani, akasahaulika.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Kuzaliwa kwake hakuna maana, huondokea gizani na gizani jina lake hufunikwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Kuzaliwa kwake hakuna maana, huondokea gizani na gizani jina lake hufunikwa.

Tazama sura Nakili




Mhubiri 6:4
3 Marejeleo ya Msalaba  

Wazawa wake waangamizwe, Jina lao likafutwe katika kizazi cha pili.


Mtu akizaa watoto mia moja, akaishi miaka mingi, hata siku za maisha yake zikiwa nyingi, lakini nafsi yake haikushiba mema; tena ikiwa, zaidi ya hayo, amekosa maziko; mimi nasema, Heri mimba iliyoharibika kuliko huyo;


tena, haikuliona jua wala kulifahamu; basi, hii imepata kustarehe kuliko yule;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo