Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mhubiri 5:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Kwa kuwa mtu hatazikumbuka mno siku za maisha yake; kwa sababu Mungu humtakabali katika furaha ya moyo wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Na kwa kuwa Mungu amemruhusu kuwa na furaha, binadamu hatakuwa na wasiwasi mwingi juu ya maisha yake mafupi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Na kwa kuwa Mungu amemruhusu kuwa na furaha, binadamu hatakuwa na wasiwasi mwingi juu ya maisha yake mafupi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Na kwa kuwa Mungu amemruhusu kuwa na furaha, binadamu hatakuwa na wasiwasi mwingi juu ya maisha yake mafupi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Mara chache mtu huzifikiri siku za maisha yake, kwa sababu Mungu humfanya ashikwe na furaha ya moyoni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Mara chache mtu huzifikiri siku za maisha yake, kwa sababu Mungu humfanya ashikwe na furaha ya moyoni.

Tazama sura Nakili




Mhubiri 5:20
12 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa utasahau mateso yako; Utayakumbuka kama maji yaliyokwisha pita;


Kidogo alicho nacho mwenye haki ni bora Kuliko wingi wa mali wa wasio haki wengi.


Nanyi mtamtumikia BWANA, Mungu wenu, naye atakibarikia chakula chako, na maji yako; nami nitakuondolea ugonjwa kati yako.


Kuna baa nililoliona mimi chini ya jua, nalo linawalemea wanadamu kwa uzito;


Wewe wamlaki yeye afurahiaye yaliyo haki na kuyatenda, watu wale wakukumbukao katika njia zako; tazama, ulikuwa na hasira, nasi tulitenda dhambi; tumekuwa katika dhambi kwa muda mrefu, nasi Je! Tutaokolewa?


Basi tukiisha kuhesabiwa haki itokayo katika imani, na muwe na amani kwa Mungu, kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo,


kwa kuwa hukumtumikia BWANA, Mungu wako, kwa furaha na moyo wa kushukuru, kwa ajili ya ule wingi wa vitu vyote;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo