Mhubiri 5:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Kwa kuwa mtu hatazikumbuka mno siku za maisha yake; kwa sababu Mungu humtakabali katika furaha ya moyo wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Na kwa kuwa Mungu amemruhusu kuwa na furaha, binadamu hatakuwa na wasiwasi mwingi juu ya maisha yake mafupi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Na kwa kuwa Mungu amemruhusu kuwa na furaha, binadamu hatakuwa na wasiwasi mwingi juu ya maisha yake mafupi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Na kwa kuwa Mungu amemruhusu kuwa na furaha, binadamu hatakuwa na wasiwasi mwingi juu ya maisha yake mafupi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Mara chache mtu huzifikiri siku za maisha yake, kwa sababu Mungu humfanya ashikwe na furaha ya moyoni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Mara chache mtu huzifikiri siku za maisha yake, kwa sababu Mungu humfanya ashikwe na furaha ya moyoni. Tazama sura |