Mhubiri 5:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Siku zake zote hula gizani, mwenye fadhaa nyingi, mwenye ugonjwa na uchungu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Aliishi maisha yake yote katika giza na huzuni; katika mahangaiko, magonjwa na hasira. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Aliishi maisha yake yote katika giza na huzuni; katika mahangaiko, magonjwa na hasira. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Aliishi maisha yake yote katika giza na huzuni; katika mahangaiko, magonjwa na hasira. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Siku zake zote hula gizani, pamoja na fadhaa kubwa, mateso na hasira. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Siku zake zote hula gizani, pamoja na fadhaa kubwa, mateso na hasira. Tazama sura |
Wakamwambia, Mtu alitokea, akaonana nasi, akatuambia, Nendeni, rudini kwa mfalme yule aliyewatuma, mkamwambie, BWANA asema hivi Je! Ni kwa sababu hapana Mungu katika Israeli, hata mnakwenda kuuliza kwa Baal-zebubu, mungu wa Ekroni? Basi kwa ajili ya hayo hutashuka katika kile kitanda ulichokipanda, bali hakika utakufa.