Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mhubiri 5:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Usingizi wake kibarua ni mtamu, awe amekula kidogo, au awe amekula kingi; lakini kushiba kwake tajiri hakumwachi kulala usingizi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Usingizi wa kibarua ni mtamu, awe ameshiba au amekula kidogo tu. Lakini usingizi wa tajiri ni wa wasiwasi daima, maana ziada ya mali yake humsumbua usiku kucha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Usingizi wa kibarua ni mtamu, awe ameshiba au amekula kidogo tu. Lakini usingizi wa tajiri ni wa wasiwasi daima, maana ziada ya mali yake humsumbua usiku kucha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Usingizi wa kibarua ni mtamu, awe ameshiba au amekula kidogo tu. Lakini usingizi wa tajiri ni wa wasiwasi daima, maana ziada ya mali yake humsumbua usiku kucha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Usingizi wa kibarua ni mtamu, awe amekula kidogo au kingi, lakini wingi wa mali humnyima tajiri usingizi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Usingizi wa kibarua ni mtamu, awe amekula kidogo au kingi, lakini wingi wa mali humnyima tajiri usingizi.

Tazama sura Nakili




Mhubiri 5:12
4 Marejeleo ya Msalaba  

Kazi yenu ni bure, mnaoamka mapema, Na kukawia kwenda kulala, Na kula chakula cha taabu; Yeye humpa mpenzi wake usingizi.


Katika amani nitajilaza na kupata usingizi mara, Maana Wewe, BWANA, peke yako, Ndiwe unijaliaye kukaa salama.


Ulalapo hutaona hofu; Naam, utalala na usingizi wako utakuwa mtamu.


Basi, nikaamka, nikaangalia; na usingizi wangu ulikuwa mtamu kwangu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo