Mhubiri 3:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 Zaidi ya hayo, nikaona tena chini ya jua ya kwamba, Mahali pa hukumu upo uovu, Na mahali pa haki upo udhalimu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Zaidi ya hayo, nimegundua duniani kwamba, mahali pa haki na uadilifu, uovu unatawala. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Zaidi ya hayo, nimegundua duniani kwamba, mahali pa haki na uadilifu, uovu unatawala. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Zaidi ya hayo, nimegundua duniani kwamba, mahali pa haki na uadilifu, uovu unatawala. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Pia nikaona kitu kingine tena chini ya jua: Mahali pa kutolea hukumu, uovu ulikuwepo, mahali pa kupatia haki, uovu ulikuwepo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Pia nikaona kitu kingine tena chini ya jua: Mahali pa kutolea hukumu, uovu ulikuwepo, mahali pa kupatia haki, uovu ulikuwepo. Tazama sura |