Mhubiri 3:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC13 Tena ni karama ya Mungu kila mtu apate kula na kunywa, na kujiburudisha kwa mema katika kazi yake yote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Sote inatupasa kula na kunywa na kufurahia matunda ya kazi zetu. Hayo ni majaliwa ya Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Sote inatupasa kula na kunywa na kufurahia matunda ya kazi zetu. Hayo ni majaliwa ya Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Sote inatupasa kula na kunywa na kufurahia matunda ya kazi zetu. Hayo ni majaliwa ya Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Tena ni karama ya Mungu kila mtu apate kula na kunywa na kujiburudisha kwa mema katika kazi yake yote. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Tena ni karama ya Mungu kila mtu apate kula na kunywa na kujiburudisha kwa mema katika kazi yake yote. Tazama sura |