Mhubiri 3:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 Mimi najua ya kwamba hakuna jema kwao kupita kufurahi, na kufanya mema maadamu wanaishi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Najua kwamba, kwa binadamu, liko jambo moja tu la kumfaa; kufurahi na kujifurahisha muda wote aishipo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Najua kwamba, kwa binadamu, liko jambo moja tu la kumfaa; kufurahi na kujifurahisha muda wote aishipo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Najua kwamba, kwa binadamu, liko jambo moja tu la kumfaa; kufurahi na kujifurahisha muda wote aishipo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Ninajua kwamba hakuna kitu bora kwa wanadamu kuliko kuwa na furaha na kutenda mema wakati wanapoishi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Ninajua kwamba hakuna kitu bora kwa wanadamu kuliko kuwa na furaha na kutenda mema wakati wanapoishi. Tazama sura |