Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mhubiri 2:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

25 Kwa maana ni nani awezaye kula au kujiburudisha kuliko mimi?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 maana usipojaliwa na Mungu, huwezi kupata chakula wala kujifurahisha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 maana usipojaliwa na Mungu, huwezi kupata chakula wala kujifurahisha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 maana usipojaliwa na Mungu, huwezi kupata chakula wala kujifurahisha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 kwa sababu pasipo yeye, ni nani awezaye kula na kufurahi?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 kwa sababu pasipo yeye, ni nani awezaye kula na kufurahi?

Tazama sura Nakili




Mhubiri 2:25
4 Marejeleo ya Msalaba  

Mwanadamu hapati jema kupita kula na kunywa, na kuiburudisha roho yake kwa mema katika kazi yake. Hayo nayo niliona ya kwamba hutoka mkononi mwa Mungu.


Kwa sababu Mungu humpa yeye aliyemridhia hekima na maarifa na furaha; bali mkosaji humpa taabu, ili kukusanya na kututa, apate kumpa huyo ambaye Mungu amridhia. Hayo nayo ni ubatili na kufukuza upepo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo