Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mhubiri 2:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Ndipo nilipoona ya kuwa kweli hekima hupita upumbavu, kwa kadiri nuru ipitavyo giza;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Basi, mimi nikagundua kwamba hekima ni bora kuliko upumbavu, kama mwanga ulivyo bora kuliko giza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Basi, mimi nikagundua kwamba hekima ni bora kuliko upumbavu, kama mwanga ulivyo bora kuliko giza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Basi, mimi nikagundua kwamba hekima ni bora kuliko upumbavu, kama mwanga ulivyo bora kuliko giza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Nikaona kuwa hekima ni bora kuliko upumbavu, kama vile nuru ilivyo bora kuliko giza.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Nikaona kuwa hekima ni bora kuliko upumbavu, kama vile nuru ilivyo bora kuliko giza.

Tazama sura Nakili




Mhubiri 2:13
17 Marejeleo ya Msalaba  

Neno lako ni taa ya miguu yangu, Na mwanga wa njia yangu.


Kufafanuliwa kwa maneno yako kunatia nuru, Na kumfahamisha mjinga.


Akili za mwenye busara ni kujua njia yake; Lakini upumbavu wa wapumbavu ni udanganyifu.


Si afadhali kupata hekima kuliko dhahabu? Naam, yafaa kuchagua ufahamu kuliko fedha.


Iwapo chuma hakipati, wala mtu hakinoi; Ndipo hana budi kutumia nguvu zaidi. Lakini yafaa kutumia hekima, na kufanikiwa.


Kweli nuru ni tamu, tena ni jambo la kupendeza macho kutazama jua.


Hekima ni nguvu zake mwenye hekima, Zaidi ya wakuu kumi waliomo mjini.


Ndipo niliposema, Bora hekima kuliko nguvu; lakini hekima ya maskini hudharauliwa, wala maneno yake hayasikilizwi.


Hekima ndiyo bora kupita silaha za vita; Lakini mkosaji mmoja huharibu mema mengi.


Ndipo mtakaporudi, nanyi mtapambanua kati ya wenye haki na waovu, kati ya yeye amtumikiaye Mungu na yeye asiyemtumikia.


Lakini jicho lako likiwa bovu, mwili wako wote utakuwa na giza. Basi ile nuru iliyomo ndani yako ikiwa giza; si giza hilo!


Kwa maana zamani ninyi mlikuwa giza, bali sasa mmekuwa nuru katika Bwana; nendeni kama watoto wa nuru,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo