Mhubiri 2:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC13 Ndipo nilipoona ya kuwa kweli hekima hupita upumbavu, kwa kadiri nuru ipitavyo giza; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Basi, mimi nikagundua kwamba hekima ni bora kuliko upumbavu, kama mwanga ulivyo bora kuliko giza. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Basi, mimi nikagundua kwamba hekima ni bora kuliko upumbavu, kama mwanga ulivyo bora kuliko giza. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Basi, mimi nikagundua kwamba hekima ni bora kuliko upumbavu, kama mwanga ulivyo bora kuliko giza. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Nikaona kuwa hekima ni bora kuliko upumbavu, kama vile nuru ilivyo bora kuliko giza. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Nikaona kuwa hekima ni bora kuliko upumbavu, kama vile nuru ilivyo bora kuliko giza. Tazama sura |