Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mhubiri 10:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Mimi nimeona watumwa wamepanda farasi, na wakuu wakienda kwa miguu juu ya nchi kama watumwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Nimeona watumwa wanapanda farasi, na wakuu wanatembea kwa miguu kama watumwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Nimeona watumwa wanapanda farasi, na wakuu wanatembea kwa miguu kama watumwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Nimeona watumwa wanapanda farasi, na wakuu wanatembea kwa miguu kama watumwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Mimi nimeona watumwa wamepanda farasi, wakati wakuu wakitembea kwa miguu kama watumwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Mimi nimeona watumwa wamepanda farasi, wakati wakuu wakitembea kwa miguu kama watumwa.

Tazama sura Nakili




Mhubiri 10:7
4 Marejeleo ya Msalaba  

Mfalme akatoka, na watu wote wakamfuata; wakakaa kidogo katika Beth-merhaki.


na aletewe mavazi ya kifalme ambayo mfalme amezoea kuyavaa, na farasi ambaye mfalme humpanda mwenyewe, ambaye ametiwa taji la kifalme kichwani;


Maisha ya anasa hayampasi mpumbavu; Sembuse mtumwa awatawale wakuu.


Mtumwa apatapo kuwa mfalme; Mpumbavu ashibapo chakula;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo