Mhubiri 10:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 ya kuwa upumbavu huwekwa mahali pa juu sana, nao wakwasi hukaa mahali pa chini. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Kwamba wapumbavu wanapewa kazi za madaraka ya juu, na matajiri wanachukua nafasi za mwisho. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Kwamba wapumbavu wanapewa kazi za madaraka ya juu, na matajiri wanachukua nafasi za mwisho. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Kwamba wapumbavu wanapewa kazi za madaraka ya juu, na matajiri wanachukua nafasi za mwisho. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Wapumbavu kuwekwa kwenye nafasi nyingi za utawala, hali matajiri wanashika nafasi za chini. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Wapumbavu kuwekwa kwenye nafasi nyingi za juu, wakati matajiri hushika nafasi za chini. Tazama sura |