Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mhubiri 10:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 ya kuwa upumbavu huwekwa mahali pa juu sana, nao wakwasi hukaa mahali pa chini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Kwamba wapumbavu wanapewa kazi za madaraka ya juu, na matajiri wanachukua nafasi za mwisho.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Kwamba wapumbavu wanapewa kazi za madaraka ya juu, na matajiri wanachukua nafasi za mwisho.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Kwamba wapumbavu wanapewa kazi za madaraka ya juu, na matajiri wanachukua nafasi za mwisho.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Wapumbavu kuwekwa kwenye nafasi nyingi za utawala, hali matajiri wanashika nafasi za chini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Wapumbavu kuwekwa kwenye nafasi nyingi za juu, wakati matajiri hushika nafasi za chini.

Tazama sura Nakili




Mhubiri 10:6
11 Marejeleo ya Msalaba  

Baada ya hayo mfalme Ahasuero alimpandisha cheo Hamani mwana wa Hamedatha, Mwagagi, akamwinua, akamwekea kiti chake juu ya wakuu wote waliokuwapo pamoja naye.


Hata Hamani alipoona ya kwamba Mordekai hamwinamii wala kumsujudia, alighadhibika sana.


Wasio haki hutembea pande zote, Huku ufisadi ukitukuka kati ya wanadamu.


Maisha ya anasa hayampasi mpumbavu; Sembuse mtumwa awatawale wakuu.


Wenye haki washindapo, uko utukufu mwingi; Bali waovu waondokapo, watu hujificha.


Wasio haki wainukapo, wanadamu hujificha; Bali waangamiapo, wenye haki huongezeka.


Wenye haki wakiwa na amri, watu hufurahi; Bali mwovu atawalapo, watu huugua.


Liko baa nililoliona chini ya jua, nalo ni kama kosa litokalo kwake yeye atawalaye;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo