Mhubiri 10:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC19 Karamu hufanywa kwa ajili ya kicheko, Na divai huyafurahisha maisha; Na fedha huleta jawabu la mambo yote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Chakula ni kwa ajili ya kujifurahisha, divai huchangamsha maisha; na fedha husababisha hayo yote. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Chakula ni kwa ajili ya kujifurahisha, divai huchangamsha maisha; na fedha husababisha hayo yote. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Chakula ni kwa ajili ya kujifurahisha, divai huchangamsha maisha; na fedha husababisha hayo yote. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Karamu hufanywa kwa ajili ya kicheko, nao mvinyo hufurahisha maisha, lakini fedha ni jawabu la mambo yote. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Karamu hufanywa kwa ajili ya kicheko, nao mvinyo hufurahisha maisha, lakini fedha ni jawabu la mambo yote. Tazama sura |