Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mhubiri 10:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Kazi yao wapumbavu huwachosha kila mmoja, Maana hajui hata njia ya kuuendea mji.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Mpumbavu huchoshwa na kazi yake hata asijue njia ya kurudia nyumbani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Mpumbavu huchoshwa na kazi yake hata asijue njia ya kurudia nyumbani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Mpumbavu huchoshwa na kazi yake hata asijue njia ya kurudia nyumbani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Kazi ya mpumbavu humchosha mwenyewe, hajui njia iendayo mjini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Kazi ya mpumbavu humchosha mwenyewe, hajui njia iendayo mjini.

Tazama sura Nakili




Mhubiri 10:15
14 Marejeleo ya Msalaba  

Walitangatanga jangwani katika njia ya nyika; Hawakuona mji wa kukaa.


Akawaongoza kwa njia ya kunyoka, Wapate kwenda mpaka mji wa kukaa.


Iwapo chuma hakipati, wala mtu hakinoi; Ndipo hana budi kutumia nguvu zaidi. Lakini yafaa kutumia hekima, na kufanikiwa.


Tena, upumbavu huongeza maneno; lakini mwanadamu hajui yatakayokuwako; nayo yatakayokuwa baada yake, ni nani awezaye kumweleza?


Ole wako, nchi, iwapo mfalme wako ni kijana, Na wakuu wako hula asubuhi!


Naam, huyo mpumbavu tena, aendapo njiani, hupungukiwa na fahamu zake; hata humwambia kila mtu ya kuwa yeye ni mpumbavu.


Kwa nini mtoe fedha kwa ajili ya kitu ambacho si chakula? Na mapato yenu kwa kitu kisichoshibisha? Nisikilizeni kwa bidii, mle kilicho chema, Na kujifurahisha nafsi zenu kwa unono.


Mwenye haki hupotea, wala hakuna atiaye hayo moyoni; na watu watauwa huondolewa, wala hakuna afikiriye ya kuwa mwenye haki ameondolewa asipatikane na mabaya.


Je! Hawa wote hawatapiga mfano juu yake, na mithali ya kusimanga juu yake, wakisema, Ole wake yeye aongezaye kisicho mali yake! Hata lini? Na ole wake yeye ajitwikaye mzigo wa rehani!


Tufuate:

Matangazo


Matangazo