Mhubiri 10:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 Maneno ya kinywa chake mwenye hekima yana neema; Bali midomo ya mpumbavu itammeza nafsi yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Maneno ya mwenye hekima humnufaisha asemaye; lakini midomo ya mpumbavu humwangamiza. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Maneno ya mwenye hekima humnufaisha asemaye; lakini midomo ya mpumbavu humwangamiza. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Maneno ya mwenye hekima humnufaisha asemaye; lakini midomo ya mpumbavu humwangamiza. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Maneno yanayotoka kinywani mwa mtu mwenye hekima yana neema, bali mpumbavu huangamizwa na midomo yake mwenyewe. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Maneno yatokayo kinywani mwa mtu mwenye hekima yana neema, bali mpumbavu huangamizwa na midomo yake mwenyewe. Tazama sura |