Mhubiri 1:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Hakuna kumbukumbu lolote la vizazi vilivyotangulia; wala hakutakuwa na kumbukumbu lolote la vizazi vitakavyokuja, miongoni mwao wale watakaofuata baadaye. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Hakuna mtu anayekumbuka ya zamani wala atakayekumbuka yatakayotukia baadaye. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Hakuna mtu anayekumbuka ya zamani wala atakayekumbuka yatakayotukia baadaye. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Hakuna mtu anayekumbuka ya zamani wala atakayekumbuka yatakayotukia baadaye. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Hakuna kumbukumbu ya watu wa zamani, hata na wale ambao hawajaja bado hawatakumbukwa na wale watakaofuata baadaye. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Hakuna kumbukumbu ya watu wa zamani, hata na wale ambao hawajaja bado hawatakumbukwa na wale watakaofuata baadaye. Tazama sura |