Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mhubiri 1:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Hakuna kumbukumbu lolote la vizazi vilivyotangulia; wala hakutakuwa na kumbukumbu lolote la vizazi vitakavyokuja, miongoni mwao wale watakaofuata baadaye.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Hakuna mtu anayekumbuka ya zamani wala atakayekumbuka yatakayotukia baadaye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Hakuna mtu anayekumbuka ya zamani wala atakayekumbuka yatakayotukia baadaye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Hakuna mtu anayekumbuka ya zamani wala atakayekumbuka yatakayotukia baadaye.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Hakuna kumbukumbu ya watu wa zamani, hata na wale ambao hawajaja bado hawatakumbukwa na wale watakaofuata baadaye.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Hakuna kumbukumbu ya watu wa zamani, hata na wale ambao hawajaja bado hawatakumbukwa na wale watakaofuata baadaye.

Tazama sura Nakili




Mhubiri 1:11
7 Marejeleo ya Msalaba  

Adui wameangamia na kuwa magofu milele. Nayo miji yao uliing'oa; Hata kumbukumbu lao limepotea.


Je! Kuna jambo lolote ambalo watu husema juu yake, Tazama, ni jambo jipya? Limekwisha kuwako, tangu zamani za kale zilizokuwa kabla yetu sisi.


Maana hakuna kumbukumbu la milele la mwenye hekima, wala la mpumbavu; kwa sababu siku zijazo wote pia watakuwa wamekwisha kusahauliwa. Na mwenye hekima, jinsi gani anavyokufa sawasawa na mpumbavu!


Pia nikaona waovu wamezikwa, nao wamefika kaburini; tena waliofanya mema wameondoka katika patakatifu, nao wamesahauliwa mjini. Hayo nayo ni ubatili.


kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lolote, wala hawana tuzo tena; maana hata kumbukumbu lao limesahauliwa.


Tazama, mambo ya kwanza yamekuwa, nami nayahubiri mambo mapya; kabla hayajatokea nawapasheni habari zake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo